AnonymousTufurahi Sote Katika BwanaTufurahi sote katika Bwana,tunapoadhimisha siku kuu,kwa heshima ya watakatifu wote. x2Malaika nao wanashangilia sikukuu hiina kumhimidi Mwana wa MunguBaraka na utukufu na hekima nashukrani na heshima na uweza
Tufurahi sote katika Bwana,tunapoadhimisha siku kuu,kwa heshima ya watakatifu wote. x2Malaika nao wanashangilia sikukuu hiina kumhimidi Mwana wa MunguBaraka na utukufu na hekima nashukrani na heshima na uweza
Comments