top of page

Tufurahi Sote Katika Bwana

Tufurahi sote katika Bwana,

tunapoadhimisha siku kuu,

kwa heshima ya watakatifu wote. x2


Malaika nao wanashangilia sikukuu hii

na kumhimidi Mwana wa Mungu


Baraka na utukufu na hekima na

shukrani na heshima na uweza

5 views0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page