top of page

Tufurahi Sote Katika Bwana

Tufurahi sote katika Bwana, Tunapoadhimisha Sikukuu kuu, kwa heshima ya Bikira Maria (x2)


Malaika wanafurahia mataifa wakovu wake, Bwana amewafunulia, aleluya


Bwana amewafunulia mataifa wokovu wake, ameidhirisha haki yake, aleluya.


Atukuzwe Baba na Mwana na Roho Mtakatifu, kama mwanzo sasa na siku zote, aleluya.

4 views0 comments

Yorumlar

5 üzerinden 0 yıldız
Henüz hiç puanlama yok

Puanlama ekleyin
bottom of page