Tufurahi sote katika Bwana, Tunapoadhimisha siku kuu Kwa heshima ya bikira Maria) x2
Malaika wanafurahia kupalizwa kwake mbinguni Na wanamsifu mwana wa Mungu aleluya
Bwana amewafunulia mataifa wokovu wake Ameidhihirisha haki yake aleluya
Atukuzwe Baba na mwana na Roho Mtakatifu Kama mwanzo sasa na siku zote
Comments