Siku Yesu alitokea ,Yohanna mbatizaji alihubiri katika nyika za uyahudi, akisema mtubuni muokoke x2
(Tubuni wandugu) kweli )tubuni wapendwa (tubuni kwa kuwa) ufalme wa mbingu u karibu x2
Yohana alikuwa ,na vazi lake lile la ngozi chakula chake kilikuwa nzige na asali ya nyuki x2
Tengenezeni njia ya Bwana ,yuanyoosheni mapito yake, zaeni matunda yapasayo Ibrahim na Isaac ndio Baba x2
Comments