top of page

Toeni Sadaka

Toeni sadaka, toeni sadaka,toeni sadaka, kwa upendo wa Mungu toa x2

1. Ulicho nacho kwa upendo wa Mungu toa, sadaka yako kwa upendo wa Mungu toa

2. Ukarimu wako kwa upendo wa Mungu toa, uhai wako kwa upendo wa Mungu toa

3. Maisha yako kwa upendo wa Mungu toa, shukrani yako kwa upendo wa Mungu toa

4. Ujana wako kwa upendo wa Mungu toa, uzee wako kwa upendo wa Mungu toa

5. Uvulana wako kwa upendo wa Mungu toa, ‘sichana wako kwa upendo wa Mungu toa

6. Matendo yako kwa upendo wa Mungu toa, mateso yako kwa upendo wa Mungu toa

7. Na mali yako kwa upendo wa Mungu toa, akiba yako kwa upendo wa Mungu toa

8. Utajiri wako kwa upendo wa Mungu toa, ‘maskini wako kwa upendo wa Mungu toa

9. Nacheo chako kwa upendo wa Mungu toa, urembo wako kwa upendo wa Mungu toa

10 views0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page