Toa sadaka umpe Mungu wako, toa sadaka umpe Mungu wako x2
Ndiyo wakati wakutoa sadaka, ufanye hima, umpe Mungu wako.
Kwa ukarimu toa ulicho nacho, kwa moyo safi, umpe Mungu wako.
Ulicholeta kipeleke kwa Bwana, hata kidogo umpe Mungu wako
Ni mema mengi aliyokutendea, hivyo na wewe umpe Mungu wako
Ni Baba yetu tegemeo la wote , shukrani zako, umpe Mungu wako
コメント