Tazameni miujiza ya Mungu, tazameni maajabu, anayotutendea, viumbe tuishio duniani katuumba sura mfano wake, mwili wenye kupendeza, akili ya maarifa yenye utashi wa kila namna nafikiri mimi ninafikiri, Bwana ni nani ni nani ni nani, ni nani, ni nani, aliye sawa na wewe Muumba Tumpigie makofi, shangwe, watu wote, leo ni shangwe, ufukweni mwa bahari, tuimbe wote tumtukuze Mungu x2
Nafikiri nafikiri, mimi nimeumbwa vipi, Maajabu yake Mungu, kaniumba mi nilivyo
Dunia ilivyoumbwa, ni kweli Inashangaza, yenye wanyama mimea na ardhi yenye rutuba
Nashukuru ee Mungu, kwa mema uliyonipa, milele hata milele, utukuzwe Mungu wangu
Comments