Tazameni kule kalivari; Mwokozi aliteswa kwa dhambi, alizikwa kule kaburini: mwisho akatoka kwa ushindi x2
1.Nitashinda Bwana nitashinda, kama wewe pia ulishinda: nitapita mapitoni mwako, nimeanza Bwana nitashinda x2
2. Njia mbovu zote nimeacha, nitapita njia nye-embamba, walipita Elija na Musa, walianza Bwana washinda x2
3. Kupokea wimbo wa ushindi, ulinunuliwa kwa mawingu, Malaika kule wanaimba wanasifu nyimbo za ushindi x2
コメント