Tazama tazama ni vema na vizuri, ndugu kuishi pamoja kwa umoja.
Mapendo ya Kristu yametuunganisha- Ndugu, tuishi pamoja kwa mapendo
Tuwe na furaha tunapokusanyika Ndugu, tuishi pamoja kwa mapendo
Na kwa moyo mnyofu tusameheane kweli Ndugu, tuishi pamoja kwa mapendo
Natuangalie tusitengane kamwe Ndugu, tuishi pamoja kwa mapendo
Tuache ugomvi tujenge mapatano Ndugu, tuishi pamoja kwa mapendo
Kati yetu sisi akae yesu Kristu Ndugu, tuishi pamoja kwa mapendo
Yeye ni kiungo cha wanadamu wote Ndugu, tuishi pamoja kwa mapendo
Tuwe Kundi moja, mchungali ndiye mmoja Ndugu, tuishi pamoja kwa mapendo
Comentarios