Tazama, Bikira atachukua mimba, na yeye atamzaa mwana, naye jina lake ni Emanueli, yaani ni Mungu pamoja nasi
Malaika akasema, salamu ee Maria, Bwana yu nawe.
Utachukua mimba, utazaa mtoto, Bwana yu nawe
Utampa jina Yesu naye ni Mtakatifu, Bwana yu nawe
Mungu atampa kiti cha babu yake Daudi, Bwana yu nawe
Na utawala wake, hauna mwisho kamwe, Bwana yu nawe
Mimi ni mtumishi wa Bwana Mungu wangu, Bwana yu nawe
Comments