Taji mvikeni Taji nyingisana, kondoo mwake Kitini,
Bwana wa mabwana; Nami tamsifu Alikufa kwangu,
Ni mfalme mtukufu, Seyidi wa mbingu.
Taji mvikeni Mwanawa bikira; Anazovaa kicwani
Aliteka nyara; Shilo wa manabii Mchunga wa watu
Shina na tanzu vya Yese Wa Bethilehemu.
Taji mvikeni Bwana wa mapenzi; Jeraha zake nishani
Ni vito vya enzi, Mbingu haina Hta malaika
Awezaye kuziona pasipo kushangaa!
Taji mvikeni Bwana wa Salama; Kote-kote duniani
Vita vitakoma; Nayo enzi yake Itaendelea,
Chini ya miguu yake, Maua humea.
Comments