Tafuteni kwanza ufalme wa Mbingu, mengine yote mtapewa kwa ziada x 2
1. Tutakula nini, mtapewa kwa ziada
Tutakunywa nini,
2. Tutalala wap,
Tutaishi wapi,
Tutasoma wapi
3. Kushibisha njaa,
Kiu kutuliza,
Mwili kuridhia
4. Elimu dunia,
Enzi ya dunia,
Mali ya dunia,
5. Baba anajua,
Kama vile ua,
Mvua nalo jua
6.Nguvu na heshima
Nayo maarifa,
Yote bila shida,
コメント