Tabibu mkuu huyu, Yesu mwenye huruma
Atuletaye faraja: Yesu, Mwokozi wetu.
Imbeni, Malaika, SIfa za Bwana wetu:
Jina la pekee kwetu, ni la Yesu Bwana.
Mwana Kondo-o msifuni Mwokozi;
Hatia zote na dhambi, Huziondoa Yesu.
Hakuna jina jingine, Linalofa-a sifa;
A-u kutufurahisha, Isipokuwa lake.
[4]
Naye atakapokuja, Na utukufu wake;
Tutafurahi milele, Kuka-a kwake Bwana.
Comments