top of page

Tabibu Mkuu

Tabibu mkuu huyu, Yesu mwenye huruma

Atuletaye faraja: Yesu, Mwokozi wetu.


Imbeni, Malaika, SIfa za Bwana wetu:

Jina la pekee kwetu, ni la Yesu Bwana.


Mwana Kondo-o msifuni Mwokozi;

Hatia zote na dhambi, Huziondoa Yesu.


Hakuna jina jingine, Linalofa-a sifa;

A-u kutufurahisha, Isipokuwa lake.


[4]

Naye atakapokuja, Na utukufu wake;

Tutafurahi milele, Kuka-a kwake Bwana.

1 view0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page