BWANA UTUHURUMIE
Bwana, Bwana tuhurumie,
Bwana, Ee Bwana tuhurumie x 2 sisi sote tuwakosefu.
Bwana, Ee Bwana tuhurumie.
Kristu, Kristu tuhurumie …………………………
Bwana, Ee Bwana tuhurumie……………………
UTUKUFU
Utukufu kwa Mungu juu na amani duniani Kwa watu wenye mapenzi, wenye mapenzi mema x 2
1. Twakusifu Bwana, twakuheshimu, twakuabudu na pia tunakutukuza.
2. Tunakushukuru, Mfal-me wa mbingu, Mwana wa peke-e pia Mwana wake Baba.
3. Mwenye Ku-ondoa dhambi za dunia, utuhurumie pia utusikilize
4. Uketiye ku-ume kwake Mungu Ba-ba, Mtakatifu mku-u utuhurumie.
5. Pamoja na Roho, Roho Mta-katifu, ndani yake Baba wewe unatuku-zwa.
BABA YETU
Baba yetu uliye mbinguni, jina lako litukuzwe, ufalme wako ufike, utakalo Baba lifanyike.
1. Tupe le-o Baba m-kate wetu, m-kate wetu wa kila siku.
2. Baba tusamehe makosa yetu, kama tusamehavyo we-nzetu.
3. Baba ‘situtie majaribuni, I-Ia utukinge na maovu.
4. Ufalme na nguvu na u-tukufu, vyote ni vyako hata milele.
MTAKATIFU
Sop: Mtakatifu Bwana (Mtakatifu Bwana) x 2 Bwana Mungu
Bwana Mungu wa majeshi x 2
Mbingu na dunia, (mbingu na dunia) x 2
Zimejaa zimejaa sifa zako x 2
Sop: Hosana x 2 Hosana juu mbinguni x 2
Mbarikiwa yule (mbarikiwa yule) x 2
Mwenye kuja kwa jina lake Bwana x 2
AMANI
Amani ya Bwana Yesu isambae kote, amani ya Bwana Yesu iwe nasi sote x2
Upendo…………...
Faraja…………………….. “ “ “ “ “ “
Furaha…………………….. “ “ “ “ “ “
MWANAKONDOO
Mwanakondoo wa Mungu uondoaye, dhambi za dunia, utuhurumie x 2
Mwanakondoo wa Mungu uondoaye, dhambi za dunia utupe amani,
Bwana utupe amani x 2
Comentários