Soma bibilia kitabu kitakatifu,
Soma uondoe ujinga wa kiroho. X2
Bibilia ni mwangaza wa maisha yangu usome uondoe ujinga wa kiroho
Bibilia ni imani usome uondoe ujinga wa kiroho
Bibilia ni furaha usome uondoe ujinga wa kiroho
Bibilia ni hekima usome uondoe ujinga wa kiroho
コメント