Sipendi (sipendi) kuwaacha waende (bila Kula) (wasije) wakazimia njiani x2
Tutawapa nini watu hawa na hapa ni nyikani, nasi hatuna chakutosha kuwashibisha x2
Hapa tunayo mikate mitano na samaki wawili, hata hivyo havitoshi kuwashibisha x2
Yesu akatwa mikononi ile mikate miatno, na wale samaki kawabariki na kawapa wote x2
Wakala wote wakashiba mpaka wakasaza, wakakusanya mabaki makanda saba x2
Comments