AnonymousSiniacheSiniache Mungu Baba nimekosa x2Kwa mawazo kwa vitendo, dhambi zangu naungamaKwa maneno kwa wajibu, kila siku majaribuHaya yote nimekosa, mimi kweli mkosefuNdugu zangu dada zangu, moyo wangu unatubuNimo vita na shetani, kwako Yesu Kristo wangu
Siniache Mungu Baba nimekosa x2Kwa mawazo kwa vitendo, dhambi zangu naungamaKwa maneno kwa wajibu, kila siku majaribuHaya yote nimekosa, mimi kweli mkosefuNdugu zangu dada zangu, moyo wangu unatubuNimo vita na shetani, kwako Yesu Kristo wangu
コメント