Wakati wangu sasa umekwishafika wa kusema asante na kutangaza sifa zake Mungu Baba na maajabu yake
Kwa nyimbo za furaha mimi nitaimba kwa nderemo na shangwe ninapiga makofi ngoma na kayamba filimbi na vinanda
Leo ni siku njema siku ya baraka tumepokea neno tumelishwa kwa mwili Sisi tumeshimba umenyweshwa Kwa damu
Onjeni wote Leo muone ya kwamba Bwana yetu yu mwema nimelionja pendo lake linasema bila kusitasita
Kweli ni neno njema kumshukuru Bwana pia kumuimbia nitamsifu Bwana leo asubuhi mchana na usiku
top of page
bottom of page
Comments