Uliamua kuniumba bila malipo hakuna wa kukupangia juu ya uhai wangu kwani
Ulipendezwa nizaliwe bila kujua jema wala baya na ukauficha hata mwisho wangu
Uliona ni vyema kila nilicho nacho nikiondoka nikiache hapa maana siyo changu
Yote hayo ni ili udhihirike kwetu ukuu wako Bwana uonekane daima popote
top of page
bottom of page
Comments