top of page

Simama Nami



  1. Uliamua kuniumba bila malipo hakuna wa kukupangia juu ya uhai wangu kwani

  2. Ulipendezwa nizaliwe bila kujua jema wala baya na ukauficha hata mwisho wangu

  3. Uliona ni vyema kila nilicho nacho nikiondoka nikiache hapa maana siyo changu

  4. Yote hayo ni ili udhihirike kwetu ukuu wako Bwana uonekane daima popote

11 views0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page