top of page

Siku ya Sabato


Siku ya Sabato, siku takatifu,

Watu wako Mungu wetu, waipenda sana.


Ulitakasa, uliibariki,

Siku hiyo ya Sabato, siku yako Bwana.


Nasi tubariki tukikuabudu,

Katika siku ya raha, siku yako Bwana.


Halafu mbinguni, pamoja na Wewe.

Tunataka kuzishika Sabato za Bwana.

1 view0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page