Siku ulipobatizwa ndugu yangu, ulimkana shetani (shetani) na mabaya yake yote Uliikiri imani takatifu, utamtukuza mungu (Mwenyezi) na sheria zake zote ona leo ndugu yangu, tazama, umemgeuka Yesu Mungu wako Umelivunja daraja la Yesu, umejenga la Shetani ndani yako
Umelivunja daraja lake Yesu, umemkana rafiki wa milele Shetani umemuita aje kwako atawale nyumba yako ndugu yangu
Wewe umekuwa chanzo cha maovu, umelibeba bendera la shetani Umekuwa kiberiti cha shetani, anachowashia moto wa maovu
Muogope Mungu wako, ndugu yangu, acha matendo maovu tenda mema Uishi katika Kristu ndugu yangu, kama ulivyoahidi siku
コメント