1. Sasa ule wakati umetimia wakujifikiria umpe Bwana nini x 2
Kumbuka ndugu ni Muumba wako (hivyo) toa sadaka yako kwa moyo safi.
2. Hata kama ndugu ni kidogo nenda, ukampe Bwana hiyo sadaka yako x 2
3. Siku zote Mungu amekulinda vyema pima ujifikirie utampa nini x 2
4. Chochote ulichonacho ewe ndugu, nenda ukampe Bwana kama shukrani x 2
Comentários