top of page

Sasa Twapeleka

1. Sasa twapeleka, sasa twapeleka tunamtolea zawadi Mungu Baba x2


Mungu atuita, twende kwake leo, twende na tubebe zawadi mikononi x 2


2. Mtabarikiwa, mtabarikiwa, mtabarikiwa na nyumba zenu zote x2


3. Toa mali yako, ya fungu la kumi, ukamtolee zawadi Mungu wetu x2

0 views0 comments

Commenti

Valutazione 0 stelle su 5.
Non ci sono ancora valutazioni

Aggiungi una valutazione
bottom of page