Sala yangu na ipae mbele yako (na ipae) kama moshi wa ubani x2
Ee Bwana upokee sadaka yetu, tunayokutolea kama shukrani yetu Ee Bwana pokea
Ee Bwana upokee dhabihu zetu, tunazokutolea kutoka mashambani Ee Bwana pokea
Ee Bwana upokee pia nia zetu, tunazokutolea kwa moyo wetu wote Ee Bwana pokea.
Commentaires