Rudisheni talanta zenu, Rudisheni talanta zenu kwa Bwana) x2 Kama wale wawili walivyorudisha talanta mbili na tano faida Nanyi pia, rudisheni talanta zenu kwa Bwana) x2
Rudisheni talanta kama wawili walivyorudisha Mbili na tano fa-ida
Ukificha talanta, utanyang`anywa, na kupewa yule, Aliyeleta na faida
Ukifanya hesabu, na Mungu wako kwa zile talanta, Mrudishie na faida
Comments