top of page

Rudisheni Talanta



Rudisheni talanta zenu, Rudisheni talanta zenu kwa Bwana) x2 Kama wale wawili walivyorudisha talanta mbili na tano faida Nanyi pia, rudisheni talanta zenu kwa Bwana) x2

  1. Rudisheni talanta kama wawili walivyorudisha Mbili na tano fa-ida

  2. Ukificha talanta, utanyang`anywa, na kupewa yule, Aliyeleta na faida

  3. Ukifanya hesabu, na Mungu wako kwa zile talanta, Mrudishie na faida

3 views0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page