Roho ya Bwana imeujaza ulimwe-ngu (nayo inayoviunganisha viumbe vyote hujua maana ya kila sauti aleluya) x2
Naye aliye na mambo yote ndani yake ana ujuzi wa kila neno aleluya
Mungu ainuka maadui wake watawanyika, kwani pendo la Mungu limekwisha kumiminwa, katika mioyo yetu
Na Roho Mtakatifu, tuliyepewa sisi aleluya
Comments