Roho ya Bwana imeujaza ulimwe-ngu nayo inayoviunganisha viumbe vyote ee hujua maana ya kila sauti aleluya x2
Kama Roho Mtakatifu alivyowajalia Petro akasema kwa sauti kubwa
Watu wa Uyahudi nanyi jueni jueni jambo hili mkalitimize
Roho wake atujaze na mapaji yake tuyafuate mema tufike Mbinguni
Comments