Pokeeni (pokeeni) Roho Mtakatifu atakaye
wajia juu yenu muwe mashahidi wangu sio
tu wa Yerusalemu bali kwa mataifa yote
Akiisha kusema hayo, walipokuwa
wakitazama akainuliwa wingu
likampokea kutoka machoni pao
Mara walipokuwa wakitazama
wakaja watu wawili wakawaambia
alivyochukuliwa kwenda mbinguni vivyo
atakuja kutoka mbinguni
Kisha wakarudi kwenda Yerusalemu,
kutoka mlima uitwao Mizeituni
wakaingia ghorofani
wakimngoja Roho Mtakatifu
Hata ilipotimiasiku ya Pentekoste,
walikuwapo wote mahali pamoja
Wakajazwa na Roho Mtakatifu,
wakaanza kulihubiri neno
Comments