Pokea zawadi zetu Baba x2
Mkate na divai pokea Baba
Mazao ya mashamba upokee
Na kiini cha ngano pokea Baba
Na tunda la mzabibu upokee
Pokea mali yetu pokea Baba
Na pia nafsi zetu upokee
Furaha na uchungu pokea Baba
Fanaka na udhiki upokee
pokea fedha zetu pokea Baba
Ingawa ni kidogo upokee
Tazama nia zetu pokea Baba
Kwa radhi zako upokee
Kwa moyo mkunjufu pokea Baba
Twatoa vyote kwako upokee
Vipate kuugezwa pokea Baba
Viweze kutufaa upokee.
Comentários