Pokea shukurani zetu (Zitokazo) vilindini mwa mioyo yetu (Pokea) Asante Hatuna chakukulipa, pokea sifa, pokea, pokea x2 Twakurudishia Sifa pokea, pokea Na utukufu) sifa pokea, pokea milele, milele) sifa pokea, pokea
Ni neno jema, kushukuru, ni neno jema kukushukuru Bwana, nakuiliimba jina lako ( A: kulii) mbia jina lako mtukufu
Twajua wazi, mafanikio huja kupitia changamoto nyingi, nitanuri lenye moto mkali,(lakini) Mungu hutushindia daima
Haya shime, natuungane, tuungane sote kumshukuru Bwana, kwa kushukuru twaomba tena twaomba, Mungu utubariki daima
Comments