Pendo lako yesu limenivutia niwe wako milele x2
1.Yesu wangu nimetambua pendo lako ni tamu,
La nivuta nikaacha hayo ya dunia,
2.Walimwengu nimewaacha kukufuata wewe,
Kwa sababu ya mapendo uliyonionyesha
3.Yesu Mkombozi wa watu kutoka kwa Baba
Ndiwe nuru ndiwe mwanga kwetu wanadamu.
4.Utukufu wako sawa na ule wa Baba
Wa milele na daima udumu milele
5.Ndiwe wa kwanza wa Baba ni mwanae mpenzi
Ni Mungu ni Masiya nafsi ya pili.
6.Mungu Muumba wa watu utukufu ni wako
Na Mwanao utumwani akatuokoa.
コメント