Pangoni pangoni siyo tena kwenye wanyama watupu kwenye wanyama tu huko kuna Mungu huko pamoja na sisi x2
Pangoni kuliko duni ndiko yuko Mungu tukampokee
Pachafu ndiko yuko Mungu tukampokee
Tena gizani ndiko yuko Mungu tukampokee
Baridi kali ndiko yuko Mungu tukampokee
Mama yake Binti mwali Bikira wa familia duni ni mlinzi wake ni seremala fundi wa kawaida hivi mashuhuda ni wachungaji harufu ni ya samadi ulaula huyo ndiye Yesu huyo ndiye Mungu pamoja nasi
Daima wapendwa tuache makuu twende kule kuliko duni sana kwa washamba wajinga na fukara twendeni wote Huko ndiko kunakozaliwa Mungu huko ndiko anako waijia watu huko ndiko pangoni pa kila siku huko ndiko anakozaliwa Yesu
Na tukisha fika kule kwenye pango tumtolee zawadi zenye upendo tuimbe tuimbe tuimbe nyimbo nzuri kwa shangwe kuu tucheze tucheze tucheze ngoma za furaha
Anastahili vigelegele na makofi tena anastahili vigelegele na makofi yeye ndiye anastahili vigelegele na makofi
Comments