Panda milimani x2 Shuka mabondeni x2 Shikeni neno, neno la Bwana.
Neno kwa wagonjwa, neno kwa wafungwa, neno kwa wakristu, shikeni neno, neno la Bwana
Neno kwa viwete, neno kwa vipofu, neno kwa viziwi, shikeni neno, neno la Bwana
Neno kwa watawa, neno kwa walevi, neno kwa maskini, shikeni neno, neo la Bwana
Commenti