Sop: Bwana tuhurumie
Sop/A: Bwana tuhurumie
wote: Bwana tuhurumie sisi wakosefu x 2
Sop: Kristu tuhurumie
Sop: Bwana tuhurumie
UTUKUFU
Solo: Utukufu kwa Mungu mbinguni
Utukufu kwa Mungu mbinguni na amani duniani kwao watu (wa-tu) kwa watu wenye mapenzi mema x 2
S/T: Tunakusifu, twakuheshimu, twakuabudu, twakutukuza,
Twakushuru, Mfalme wa mbingu Mwana wa pekee Mwana wa Baba. (Bwana)
T/B: Unayeondoa makosa yetu utuhurumie, tusikilize, kuume kwa Baba
Unapoketi, Mtakatifu mkuu, tuhurumie (Bwana).
Wote: Pamoja na Roho Mtakatifu ndani ya Baba untukuzwa, Mu-ngu m-moja
anaye-i-shi, ndiye mtawala milele yote (Bwana).
ALELUYA
SOP: Aleluya Aleluya – A-leluya, -A-leluya x 2
BASS:
NASADIKI: OUR LADY
Solo: Nasadiki kwa Mungu mmoja
Nasadiki (nasadiki), nasadiki (mimi)
Nasadiki kweli nasadiki (nasadiki)x2
1. Mungu Baba muumba wa vyote,
Na mwanaye Yesu Kristu (nasadiki)
Mkombozi wa watu wote (nasadiki)
Ni mzaliwa na Maria (nasadiki)
2. Alikufa msalabani,
Kwa ajili yetu sisi -
Siku tatu akafufuka -
Akapaa uwinguni –
3. Yuko kuume kwa Baba,
Atakuja kwa hukumu –
Naye Roho Mtakatifu –
Ndiye mleta wa uzima –
4. Na kanisa la Katoliki,
Takatifu la Mitume –
Naungama ubatizo –
Ufufuko na uzima –
MTAKATIFU
S/A/T: M-takatifu (Mtakatifu) Mtakatifu
S/A/T: Bwana Mungu (Mungu)
Wote: Wa majeshi x 2
S/A/T: Mbingu na dunia zimejaa (A/T) zote
Wote: Zimejaa sifa zako
Hossana, Hossana, Hossana, juu mbinguni x 2
M-ba-ri-kiwa a-na-ye-kuja, kwa jina la-ke Bwana x2
MAGEUZO
SOP: Huu
Wote: Ni mwili wa Bwana Yesu
Sop: huu
Wote: Ni mwili wa Bwna Yesu, tusujudu, tuabudu, mwiliwe x 2
Hi, ni damu ya Bwana Yesu, tuisujudu, tuiabudi damuye x 2
FUMBO
Sop: Tutangaze fumbo laimani
Sop: Kristu
Wote: Kristu alikufa
Sop: Kristu
Wote: Kristu alifufuka
T/B (Kristu) Kristu atakuja tena x 2
AMINA
Sop: A-mina, a-mina, a-a-amina, a-mina x 2
Alto: Amina, a-mina, amina, a-a-amina, a-mina x 2
T/B: A-mina, amina, amina, amina, a-mina x 2
BABAYETU
Baba yetu uliye mbinguni (Baba) jina lako litukuzwe, (Ufalme) wako ufike, utakalo lifanyike x 2
V. Baba Yetu uliye mbinguni
W. Jina lako litukuzwe, Ufalme wako ufike utakalo lifanyike x2
1. Duniani kama mbinguni - Utakalo lifanyike
Tupe leo mkate wetu - Utakalo lifanyike
Mkate wetu wa kila siku - Utakalo lifanyike
2. Tusamehe makosa yetu -Utakalo lifanyike
Kama vile twawasamehe - Utakalo lifanyike
Walio tukosea sisi - Utakalo lifanyike
3. Situtie majaribuni.- Utakalo lifanyike
walakini utuopoe - Utakalo lifanyike
maovuni utuopoe - Utakalo lifanyike
4. Kwa kuwa ufalme ni wako - Utakalo lifanyike
Na nguvu na utukufu - Utakalo lifanyike
Utukufu hata milele - Utakalo lifanyike
AMANI: OUR LADY
Sop: Amani ya Bwana naomba
All: Iwe pia nawe
Sop: Amani yake Bwana Yesu kweli
All: Iwe pia nawe
Amani ya Bwana Yesu isambae (moyoni)
Isambae pote, isambae.
Sop: Upendo….
Sop: Faraja…..
MWANAKONDOO: OUR LADY
(Sop: Mwanakondoo wa Mungu
S/A: Mwanakondoo wa Mungu
All: (Uondoaye dhambi, za dunia utuhurumie x2) x2
Sop: Mwanakondoo wa Mungu
All: (Uondoaye dhambi, za dunia, utujalie, tujalie,
amani x2) Utujalie, tujalie, Amani.
Comments