top of page

Sop: Bwana tuhurumie

Sop/A: Bwana tuhurumie

wote: Bwana tuhurumie sisi wakosefu x 2

Sop: Kristu tuhurumie

Sop: Bwana tuhurumie


UTUKUFU

Solo: Utukufu kwa Mungu mbinguni

Utukufu kwa Mungu mbinguni na amani duniani kwao watu (wa-tu) kwa watu wenye mapenzi mema x 2

S/T: Tunakusifu, twakuheshimu, twakuabudu, twakutukuza,

Twakushuru, Mfalme wa mbingu Mwana wa pekee Mwana wa Baba. (Bwana)

T/B: Unayeondoa makosa yetu utuhurumie, tusikilize, kuume kwa Baba

Unapoketi, Mtakatifu mkuu, tuhurumie (Bwana).

Wote: Pamoja na Roho Mtakatifu ndani ya Baba untukuzwa, Mu-ngu m-moja

anaye-i-shi, ndiye mtawala milele yote (Bwana).


ALELUYA


SOP: Aleluya Aleluya – A-leluya, -A-leluya x 2

BASS:


NASADIKI: OUR LADY

Solo: Nasadiki kwa Mungu mmoja

Nasadiki (nasadiki), nasadiki (mimi)

Nasadiki kweli nasadiki (nasadiki)x2

1. Mungu Baba muumba wa vyote,

Na mwanaye Yesu Kristu (nasadiki)

Mkombozi wa watu wote (nasadiki)

Ni mzaliwa na Maria (nasadiki)

2. Alikufa msalabani,

Kwa ajili yetu sisi -

Siku tatu akafufuka -

Akapaa uwinguni –

3. Yuko kuume kwa Baba,

Atakuja kwa hukumu –

Naye Roho Mtakatifu –

Ndiye mleta wa uzima –

4. Na kanisa la Katoliki,

Takatifu la Mitume –

Naungama ubatizo –

Ufufuko na uzima –

MTAKATIFU


S/A/T: M-takatifu (Mtakatifu) Mtakatifu

S/A/T: Bwana Mungu (Mungu)

Wote: Wa majeshi x 2

S/A/T: Mbingu na dunia zimejaa (A/T) zote

Wote: Zimejaa sifa zako

Hossana, Hossana, Hossana, juu mbinguni x 2

M-ba-ri-kiwa a-na-ye-kuja, kwa jina la-ke Bwana x2


MAGEUZO


SOP: Huu

Wote: Ni mwili wa Bwana Yesu

Sop: huu

Wote: Ni mwili wa Bwna Yesu, tusujudu, tuabudu, mwiliwe x 2

Hi, ni damu ya Bwana Yesu, tuisujudu, tuiabudi damuye x 2


FUMBO


Sop: Tutangaze fumbo laimani

Sop: Kristu

Wote: Kristu alikufa

Sop: Kristu

Wote: Kristu alifufuka

T/B (Kristu) Kristu atakuja tena x 2


AMINA


Sop: A-mina, a-mina, a-a-amina, a-mina x 2

Alto: Amina, a-mina, amina, a-a-amina, a-mina x 2

T/B: A-mina, amina, amina, amina, a-mina x 2


BABAYETU

Baba yetu uliye mbinguni (Baba) jina lako litukuzwe, (Ufalme) wako ufike, utakalo lifanyike x 2

V. Baba Yetu uliye mbinguni

W. Jina lako litukuzwe, Ufalme wako ufike utakalo lifanyike x2


1. Duniani kama mbinguni - Utakalo lifanyike

Tupe leo mkate wetu - Utakalo lifanyike

Mkate wetu wa kila siku - Utakalo lifanyike


2. Tusamehe makosa yetu -Utakalo lifanyike

Kama vile twawasamehe - Utakalo lifanyike

Walio tukosea sisi - Utakalo lifanyike


3. Situtie majaribuni.- Utakalo lifanyike

walakini utuopoe - Utakalo lifanyike

maovuni utuopoe - Utakalo lifanyike


4. Kwa kuwa ufalme ni wako - Utakalo lifanyike

Na nguvu na utukufu - Utakalo lifanyike

Utukufu hata milele - Utakalo lifanyike


AMANI: OUR LADY

Sop: Amani ya Bwana naomba

All: Iwe pia nawe

Sop: Amani yake Bwana Yesu kweli

All: Iwe pia nawe

Amani ya Bwana Yesu isambae (moyoni)

Isambae pote, isambae.

Sop: Upendo….

Sop: Faraja…..


MWANAKONDOO: OUR LADY

(Sop: Mwanakondoo wa Mungu

S/A: Mwanakondoo wa Mungu

All: (Uondoaye dhambi, za dunia utuhurumie x2) x2

Sop: Mwanakondoo wa Mungu

All: (Uondoaye dhambi, za dunia, utujalie, tujalie,

amani x2) Utujalie, tujalie, Amani.

25 views0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page