Ona mnavyopendeza, ona mnavyopendeza x2 Mashemasi
(Makasisi, Maharusi) mtabasamu mwende mkang’ae milele x2
Katika maisha yenyu mkatende kazi ya Bwana mkalichunge kundi lake mkalifikishe Mbinguni
Mkawakusanye wote Waliotawanyika Na wote waliopotea mkawarudishe kwa Baba
Na mkalinde vyema Kundi mlilokusanya Kundi mliokusanya Ili wawe kundi moja
Maria Bikira mwema Wawalinde daima Muovu asiwaguze Hatari zote ziepe.
Comments