top of page

Omba Sana Asubuhi

Omba sana asubuhi,

Omba sana mchana,

Omba sana na jioni,

Bwana hutusikia.


Mungu hujibu maombi,

Asubuhi na mchana,

Hata hutungojea tena,

Wakati wa jioni.


Na tuimbe asubuhi.

Tena saa za mchana.

Hivi tutafurahi Naye.

Pumziko la jioni.

2 views0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page