Nyanyukeni waumini wote tufanye shangwe Kwa nderemo, kwa vigelegele na kwa vifijo) x2 Bwana asifiwe (sana) Bwana asifiwe (kweli) Bwana asifiwe Mwathani aragoshuo
Nikiziangalia mbingu ni kazi ya vidole vyake Mwezi na nyota za mbinguni ulizoratibisha wewe
Uwezo wake Bwana Mungu haupimiki kwa mizani Mipango yake kwetu sisi haiwezi kubadilishwa
Alikausha baharí ya Shamu ikawa nchi kavu Waisraeli wakapita kwa uwezo wa Mungu Baba
Na tupigeni tarumbeta vinubi hata na matari Tuimbe wimbo wake Musa na ule wa Mwanakondoo
Pazeni sauti zenu kwa shangwe hata na vifijo Sifa pia na utukufu tumpe Bwana siku zote
top of page
bottom of page
Comments