Nuru huwazukia wote wenye adili - gizani x2 {Bwana ni - mwenye fadhili Tena ni - mwenye huruma Na kazi zake - anazitenda kwa haki} x2
Kweli atendaye fadhili na kumkopesha Atengenezaye mambo yake kwa haki
Kwa maana hataondoshwa hata kidogo Mwenye haki atakumbukwa milele yote
Wala yeye hataogopa habari mbaya Nao moyo wake ulomtumaini Bwana
Hata waombe watesi wote wameshinda Amekirimu na kuwapa maskini wote
Haki yake kweli yadumu milele yote Pembe yake inatukuzwa kwa utukufu
Comments