Njoo kwetu, Masiya, (njoo), njoo Bwana, utuokoe x2.
Utuhurumie sisi wadhambi, tunakulilia, tusikilize.
Nguvu za shetani zimetubana, njia ya uwingu haipitiki.
Utufungulie mlango wa mbingu, na kuyatakasa maouvu yote.
Nazo dhambi zetu zimetusonga, kamba za mauti zatuzunguka
Ee Yesu Masiya, mwenye huruma, njoo hima Bwana, utuokoe
Comments