Njoni nyote tumshangilie Bwana Mungu wetu x2
1. Na kwa maisha yetu tunakusalimu
Na kwa upendo wako, tunakuhukuru.
2. Na kwa umoja wetu, tunakuheshimu
Na kwa imani yetu, tunakutukuza.
3. Na kwa furaha yetu, tunakusifu wee
Na kwa uchungu wetu, tunakuomba wee.
4. Na kwa mazao yetu, tunajitolea.
Na haja zote Baba, tunakutolea.
Comments