Naomba niwe baraka Kwa wengine (Mungu)
Naomba niwe daraja kwa wote (Nisiwe sababu ya wengine kuumia (tena) nisiwe sababu ya wengine kuteseka hio ndio sala yangu) × 2
Nisikike kirahisi watu wasiniogope ndipo watakapo weza kueleza shinda zao
Nisiwe na kiburi, kiburi cha uzima nijue vyema dhamani ya utu wa mwanadamu
Kwa kuwa kwa hakika katika kubariki ndipo twabarikiwa baraka maradufu
Comments