Nitayainua macho yangu, nitazame milima, msaada wangu utatoka wapi, uu katika Bwana wangu x2
Msaada wangu uu katika Bwana/ aliyezifanya mbingu na nchi x2 iyoo mimi.
Asiache mguu wako usogezwe/ asisinzie yeye akulindaye x2 iyoo mimi.
Naam hatasinzia wala hatalala usingizi/ yeye ndiye mlinzi wa Israeli x2 iyo mimi.
Bwana ndiye mlinzi wangu/ Bwana ni uvumilivu / wa mkono wako wa kuume x2 iyo mimi.
Commentaires