Nitayainua macho yangu, niitazame milima, msaada wangu utatoka wapi, u katika Bwana wangu x 2
1. Msaada wangu uu katika Bwana / aliyezifanya mbingu na nch (i yoo mimi).
2. Asiache mguu wako usongezwe / asinziaye akulindaye (i yoo mimi)
3. Naam hatasinzia wala hatalala usingizi / yeye aliye mlinzi wa Israeli (i yoo mimi)
4. Bwana ndiye mlinzi wako / Bwana ni uvuli wa mkono wako wa kuume (i yoo mimi).
Comments