Nitamwimbia Bwana (Bwana wangu) Nitamwimbia Bwana kwa kuwa ametukuka sana!
Bwana ni nguvu yangu na wimbo wangu
(nasema) Bwana ndilo jina lake.
Amekuwa wokovu wangu hakika,
(nasema ) Bwana ndilo jina lake.
Mpanda farasi naye farasi wake
Bwana amewatupa kwenye bahari
Yeye ni Mungu wangu nitamsifu
Mungu wa baba yangu nitamtukuza
Gari lake faraho na jeshi lake
Bwana amewatupa kwenye bahari
Maakadi yake wateule wote
Wamezama katika bahari ya Sham
Mkono wa kuume wa Mungu Mwenyezi
Umepata fahari ya uwezo
Mkono wa kuume wa Mungu Mwenyezi
Umewasetaseta adui zake
Kwenye mlima ambao amechagua
Atamwingiza Sioni na kumpanda
Pale alipojenga kwa mkono wake
Naye atutawale sisi milele
Kommentare