Nitamsifu Mungu wa mbinguni aliyeniumba Ananipenda tena anilinda kati ya mabaya x2
Alinipenda kuliko vyote akaniumba kwa mfano wake uhai wangu najivunia kwani najua anipenda
Viungo vyote vya mwili wangu vyamtukuza vyamuabudu – Najitolea maisha yangu kufanya kazi yake Bwana
Ninakuomba unipe nguvu yakukusifu na kukupenda siku kwa siku nikutukuze –Kwani wewe ni Mungu wangu
댓글