Nitakwenda mimi mwenyewe, nikatoe sadaka kwa Bwana (Aliyeniumba mimi, aliyeniumba mimi, aliyeniumba mimi Mungu wangu, Mungu wangu, Mungu wangu Kwa kuniumba hadi nikapendeza) x2
Kaniumba kwa mfano wake, kuliko viumbe vingine, na sasa nikatoe shukrani
Vyote nilivyo navyo ni vyake, nimrudishie kwa mapendo, Na sasa nikatoe shukrani
Mema mengi amenijalia, ya mbinguni na duniani, Na sasa nikatoe shukrani
(Siku zote wanilinda vyema, wanitunza na kunijali, Na sasa nikatoe shukrani)
Comments