Nitajongea meza yako Bwana,
Yesu Mwana wa Mungu, unishibishe x2
Wewe ni mkate wa uwinguni, unishibishe
Wewe ni maji ya uzima, niburudishe
Wewe mzabibu nami ni tawi, nisitawishe
Wewe msamaha kwa watu wote, nisaidie
Wewe ni njia ya uwinguni, uniongoze
Nazo furaha za uwingu ukinijaza
Niishi nawe Ee Yesu mwema, milele yote
Commentaires