Nitajongea meza yako, ee Bwana Nitajongea meza yako, ee Bwana, Bwana nipokee nakuja (Ninakuja kwako, ee Bwana (kweli) Nikakupokee, ee Bwana Kwani wewe ndiwe uzima) x2
Chakula kina uzima, ee Bwana Huwashibisha wenye njaa, Bwana nipokee nakuja
Kinywaji kina uzima, ee Bwaba Huwashibisha wenye kiu, Bwana nipokee nakuja
Ni meza yenye mapendo, ee Bwana Yenye kuleta amani, ee Bwana, Bwana nipokee nakuja
Comments