Nitafurahi sana katika Bwana, maana amenivika mavazi ya wokovu, amenifunika vazi la haki, kama bibi harusi ajipambavyo Kwa vyombo vya dhahabu, vyombo vya dhahabu.
Nitafurahi katika Bwana / nafsi yangu itashangilia katika Mungu wangu.
Maana amenivika mavazi ya wokovu / amenivika vazi la haki, kama bibi harusi ajipambavyo kwa vyombo vya dhahabu.
Ee Binti sayuni furahi sana / umshangilie Mungu wako.
Ee Binti tega sikio lako / mfalme autamani uzuri wako.
Comments