Nitakwenda kwa shangwe na vigelegele niingie nyumbani mwa Bwana Mungu wetu
Njooni nyote wazee vijana na watoto, mshangilieni leo nyumbani mwake Bwana
Nitatangaza sifa zake Mungu Mwenyezi, kwenye kusanyiko nitakuimbia wewe
Nitasema asante kwake Mola Rabuka, kwa ukarimu wako usio na kifani
Nitatoa shukrani zangu kwako Muumba, nitakushukuru leo kesho na daima
top of page
bottom of page
Comentarios